Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Unafahamu maana ya "PEOPLES POWER" ya CHADEMA??...Kama hujui, Waziri MAGUFULI wa CCM ameitafsiri

$
0
0
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amesema kuwa anafurahishwa na salamu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa kuwa kila neno katika salamu hiyo lina maana na linaashiria ushindi.  Magufuli ameyasema hayo wakati akizungumza na viongozi wa sekta ya miundombinu ya barabara wa Mkoa wa Iringa, katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi za Mkuu wa Mkoa huo, Dk. Christine

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>