HATIMAYE Tanzania imewekwa kando rasmi na nchi wanachama wa Jumuiya ya
Afrika Mashariki (EAC), katika kuunda Shirikisho la Kisiasa
litakaloziongoza nchi hizo.
Tayari marais wa nchi hizo, Paul Kagame wa Rwanda, Yoweri Museveni
wa Uganda, Uhuru Kenyatta wa Kenya na Pierre Nkurunzinza wa Burundi
wamekwishafikia makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kuandikwa kwa
Rasimu ya Katiba ya
↧