Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto achomwa moto na mama yake akituhumiwa kuiba mayai ya kuku jijini Mbeya.

$
0
0
WIMBI la ukatili dhidi ya watoto linazidi kushika kasi jijini hapa baada ya mtoto, Emilly George (7) Mkazi wa kijiji cha Ruanda wilaya ya Mbeya kuunguzwa vibaya mikono na mama yake mzazi, Elisia Mwasile (41) kwa maji ya moto kisha kufungiwa ndani kwa siku saba. Akizungumza huku akiwa anatetemeka kwa hofu, mama wa mtoto huyo, Elisia alisema kuwa chanzo cha kumchoma mtoto wake ni kutokana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles