Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aibu: Shehena ya Samaki walioharibika yanaswa ikiwa Tabata Bima Jijini Dar ES Salaam

$
0
0
Shehena ya samaki tani 22.5 kutoka nchini China wanaodaiwa kuharibika na kutokuwa salama kwa matumizi  ya binadamu wamekutwa katika eneo la Tabata Bima jijini dar es salaam huku baadhi ya samaki hao wakiwa tayari wamekwishaingizwa  sokoni kwa kuuzwa. Baada ya kuwepo kwa fununu za uingizwaji wa samaki waodaiwa kuharibika kutoka nje ya nchi na  kuingia hapa nchini na kuatarisha maisha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>