Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RIPOTI: Ugomvi wa miaka 20 iliyopita wa kanisa la EAGT na TAG waibuka upya baada ya kifo cha Askofu KULOLA

$
0
0
Kanisa la Evangelistic Assemblies of God (EAGT) linatarajia kuuanza mwezi ujao kwa machungu mapya kabisa huku yale ya kuaga dunia kwa aliyekua Askofu wake mkuu Askofu Moses Kulola yakiwa  hayajapoa.....  Kanisa hilo linatakiwa kusimama mahakamani mwezi ujao Oktoba 1 kujitetea ili waumini wake wasiondolewe kwenye kanisa la Bugando ambako askofu Kulola amezikwa.    Chanzo kimojawapo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>