Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanasayansi wadai kwamba MWISHO WA DUNIA utafika baada ya miaka bilioni 3.5 ambapo JUA litakuwa kali balaa.

$
0
0
Mwisho wa dunia kwa mujibu wa wanasayansi bado sana. Maisha duniani yataendelea kuwepo kwa miaka bilioni 3.5 mingine. Baada ya hapo wanasayansi wanaamini jua litakuwa kali kiasi ambacho hakuna kiumbe kitakachoweza kuishi. Tangu iwepo, sayari ya dunia imekuwa kwenye umbali sahihi kutoka kwenye jua kiasi cha kuifanya iwe  na maisha. Wanasema tatizo ni kwamba nyota zimeendelea kuchemka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>