Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

HAKIMU ACHOMWA KISU MAHAKAMANI WAKATI AKITOA HUKUMU HUKO SHINYANGA

$
0
0
  Hakimu wa mahakama ya Mwanzo mjini Shinyanga Mheshimwa Nyanguoa Masaba amejeruhiwa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali akiwa Mahakani akitoa  hukumu. Tukio hilo limetokea leo katika mahakama ya mwanzo mjini Shinyanga. Hakimu huyo alijeruhiwa na mlalamikaji katika kesi ya wizi wa Baiskeli wakati akitoa hukumu. Tukio hilo limesababisha mahakama hiyo kusimama kumnusuru hakimu huyo na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>