Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RAIS KIKWETE AWATOA HOFU WAWEKEZAJI WA MAREKANI KUHUSU TISHIO LA CHINA NCHINI

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIHakuna tishio la China – Rais KikweteRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa maslahi ya makampuni ya Marekani yanayotaka kuwekeza katika Tanzania hayataathiriwa na kuwepo kwa China katika uchumi wa Tanzania kwa sababu China siyo moja ya wawekezaji wakuu katika uchumi wa Tanzania kwa sasa.Rais Kikwete amesema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>