JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kali kwa watu wanaotumia vibaya silaha walizomilikishwa.
Onyo hilo lilitolewa jana na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu
Mwandamizi wa Polisi (SSP), Advera Senso, katika taarifa yake kwa vyombo
vya habari na kuwataka watu hao kuacha mara moja tabia hiyo na badala
yake wazingatie sheria na masharti waliyopewa wakati wa umilikishwaji.
Alisema
↧