Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jeshi la polisi lawaonya wananchi dhidi ya matumzi mabaya ya Silaha....

$
0
0
  JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kali kwa watu wanaotumia vibaya silaha walizomilikishwa.  Onyo hilo lilitolewa jana na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP), Advera Senso, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari na kuwataka watu hao kuacha mara moja tabia hiyo na badala yake wazingatie sheria na masharti waliyopewa wakati wa umilikishwaji.   Alisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>