Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majeruhi Francis Shumira aliyepigwa risasi juzi na Gabriel Munis ili kulipiza kisasi kwa penzi la Christina afariki dunia

$
0
0
MAJERUHI Francis Shumira aliyejeruhiwa katika tukio la kushambuliwa kwa risasi Ilala Dar es salaam juzi  amefariki dunia jana asubuhi Hospitali ya Muhimbili alikolazwa MOI kwa matibabu.    Kufariki kwa Francis kunafanya idadi ya watu  watatu waliofariki katika tukio hilo hadi hivi sasa huku ikiacha majeruhi wawili ambao  ni Christina Alfred Newa Mwanafunzi wa masuala ya Mawasiliano

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>