Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hatima ya Babu Seya na Papii Kocha ni LEO ambapo Mahakama itatoa uamuzi wa kulikubali au kulikataa ombi lao

$
0
0
MAHAKAMA ya Rufani leo inatarajia kutoa uamuzi wa ama kulikubali au kulikataa ombi la marejeo lililowasilishwa na mwanamuziki wa dansi nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae, Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme’, ambao waliomba mahakama hiyo ifanyie marejeo hukumu ya kifungo cha maisha iliyoitoa Februari 2010, kwa kuwa ina dosari za kisheria na kuwaachia huru.Kwa mujibu wa hati ya wito wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>