Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kajala Masanja kuhukumiwa upya Novemba 25

$
0
0
Msanii wa filamu Kajala Masanja atahukumiwa upya Novemba 25 mwaka huu baada ya mumewe kukata rufaa.    Kesi iliyokuwa ikiwakabili wanandoa hao ilihusiana na utakatishaji wa fedha haramu uliofanywa na mume wa Kajala wakati akifanya kazi kwenye Benki ya NBC, Dar. Habari za ndani zinaarifu  kuwa, Kajala alisharidhika na hukumu iliyotolewa Machi 25, mwaka huu ambapo yeye  alitakiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles