SIKU chache baada ya kikundi cha Al Shabaab kudaiwa kuteka Jengo la
Westgate nchini Kenya na kuua watu kadhaa na wengine kujeruhiwa wasiwasi
wa magaidi kulipua tena nchi hiyo umetanda.
Tayari Marekani imetoa angalizo kwa Kenya kuhusu uvamizi huo na
kuitaka isibeze kuchukua tahadhari kama ilivyofanya kwa tukio la
Westgate na kusababisha madhara makubwa kwa wananchi.
Kwa
↧