Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kenya yalaani umoja wa Mataifa ( UN ) uliotupilia mbali ombi la Umoja wa Afrika ( AU) kutaka Rais wa Kenya na makamu wake wasihudhirie ICC

$
0
0
Serikali ya Kenya imelaani uamuzi uliotolewa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) wa kutupilia mbali ombi la Umoja wa Afrika (AU) kutaka kesi zinazowakabili viongozi wakuu wa nchi hiyo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) zisitishwe.    Katika kujadiliwa kwa suala hilo, nchi nane wanachama wa Baraza la Usalama la UN zikiwemo Uingereza, Ufaransa, Marekani, pia nchi wanachama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>