Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Profesa Juma Kapuya azidi kubanwa.... Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Mwema ajitwisha jukumu la kumshughulikia, Samwel Sitta atoa kauli nzito

$
0
0
SAKATA la Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof. Juma Kapuya (CCM) kudaiwa kumbaka mwanafunzi na kumtishia kumuua, linazidi kuchukua sura mpya ambapo Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema na Wizara ya Jamii, Jinsia na Watoto wamengilia kati.    Jana gazeti la  Tanzania Dama  liliripoti kauli ya Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova kuwa watamchukulia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>