Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamziki wa Bendi ya FM Academia auawa China baada ya kukamatwa na madawa...

Mwanamziki aliyepata kutamba na Bendi ya FM Academia ya jijini Dar es Salaam, Rapa, Haristot Shungu ameuawa nchini China huku kifo chake kikitawaliwa na utata mkubwa.    Kwa mujibu wa chanzo  makini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe agoma kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA, wajumbwe wakwazika

 WAKATI Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiendelea na kikao chake jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, amekacha.    Zitto ambaye katika siku za hivi karibuni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Babu Seya na Papii Kocha washindwa kesi na kurejeshwa jela tena kwa kifungo...

Mwanamziki mkongwe nchini Nguza Viking aka Babu Seya na mwanaye Papii Kocha, wataendelea na kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufani nchini kuitupilia mbali rufaa yao iliyosikilizwa leo Babu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari la Wema Sepetu lageuzwa Gesti house....Vijana wake walitumia kuwanasa...

Taarifa za sababu kubwa zilizopelekea Wema Sepetu kumtimua  aliyekuwa director wake maarufu  kwa jina  la Chid  ni ufuska uliokubuhu wa director  huyo ambaye alikuwa  akitumia magari ya  Wema Sepetu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

P-Square watua jijini Dar es Salaam

Wanamuziki wa kundi la P-Square Peter na Paul baada ya kutua jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkrulu ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania wanne wafikishwa mahakamani kwa kosa la kujiunga na kundi la Al...

WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab. Washitakiwa hao waliofikishwa mahakamani jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikao cha kamati kuu ya CHADEMA chamalizika kwa kumvua Zitto Kabwe nafasi...

Suala la hatma ya Naibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe ndilo lililotawala katika siku ya pili ya kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho na kusababisha mvutano mkali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Christine Newa asimulia kilichomfanya Gabriel Munis awapige risasi....Asema...

Imebainika kwamba sababu ya shambulizi la risasi lililotokea Ilala Bungoni, Dar es Salaam Jumanne iliyopita na kusababisha vifo vya watu watatu, ni wivu wa mapenzi uliopindukia.    Akizungumza nyumbani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 10 wafikishwa mahakamani leo kwa kosa la kumuua Dr. Senngondo Mvungi.....

Watu kumi wanaodaiwa kumuua Dr. Segondo Mvungi wamefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu na kusomewa shitaka la kumuua Dr. Mvungi.   Kesi imesomwa na Hakimu Mkazi Sundi Fimbo ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la CHADEMA KUJITEKA, kummwagia tindikali Saed Kubenea na chanzo cha...

Ndugu Wananchi, Taifa letu la Tanzania linapitia katika wakati wa upevukaji wa uhuru wa kusema kwa uwazi, pia Taifa letu linapitia katika harakati za demokrasia na maozezi ya deomkrasia. Katika kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya mke wa mchungaji akisaliti ndoa yake na director wake yanaswa

  Mama  mchungaji  wa  kanisa  moja  hapa  nchini  amejikuta  ndani  ya  aibu  nzito  baada  ya  video  yake  inayomuonesha  akisaliti  ndoa  yake  kuvuja  na  kusambaa  mitandaoni.... Katika  video...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa rasimi ya CHADEMA kuhusu kuwavua uongozi Zitto Kabwe, Dr. Kitila...

Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema imewavua Uongozi Viongozi wake watatu baada ya Kugundua waraka wa Siri uliowahusisha na mpango wa kukipasua Chama vipande vipande.  Viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu ndo waraka wa siri uliotumiwa na CHADEMA kuwavua nafasi za uongozi Zitto...

MKAKATI WA MABADILIKO 2013   UTANGULIZI: Taasisi tunayoizungumzia ilisajiliwa rasmi mwezi January 1993 na tokea wakati huo imeongozwa na wakuu wa taasisi wapatao wawili na aliyepo kwa sasa ni wa tatu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya CHADEMA kumvua uongozi Zitto Kabwe, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA...

Habari    zilizotufikia  muda  mfupi  ulipita  zinaarifu  kwa Said Arfi  ambaye  ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amejiuzulu rasmi nafasi yake jioni hii.  Arfi ambaye pia ni mbunge wa Mpanda mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba baada ya CHADEMA kumvua uongozi Zitto...

Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba "NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana aukata uume wake kuepuka usumbufu wa wanawake huko Tabora.

Ayubu Mnazi Alphonce(24) ni  kijana  ambaye amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete akipatiwa matibabu baada ya kuamua kuukata uume wake kwa  kutumia  wembe  mpya  ili  kuepukana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Utundu kitandani ndo silaha yangu ya kuwateka wanaume...Nayajua mapishi na...

Wakati  kukiwa  na  madai  kuwa  msanii Baby  Madaha  anatumia  dawa  za  kienyeji  kuwateka  wanaume  kimapenzi, mrembo  huyo  ameibuka  na  kusema  kuwa  siri  ya  kuwateka  wanaume  ni  utundu  wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mugabe awapiga marufuku wageni na wahamiaji kujihusisha na biashara...

Wamiliki wa makampuni ya nje yanayoendesha shughuli katika baadhi ya sekta nchini Zimbabwe kuanzia Januari mosi mwaka 2014 hawataruhusiwa na iwapo watakiuka agizo hilo watakamatwa .Mmoja wa maafisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Juma Kapuya aburuzwa polisi kwa tuhuma za ubakaji.....

HATIMAYE binti anayedaiwa kubakwa na Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), amefungua jalada Polisi dhidi ya mbunge huyo.    Habari za kipolisi ambazo Tanzania Dama limezipata, zinasema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe na Dr. Mkumbo watakutana na waandishi wa habari kesho ili kutoa...

Taarifa inatolewa kuwa Mheshimiwa Zitto Kabwe pamoja na Dk Kitila Mkumbo watakutana na wahariri na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili tarehe 24 Novemba 2013.  Watatumia nafasi hii kutoa maoni...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>