Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba baada ya CHADEMA kumvua uongozi Zitto Kabwe....Amedai kuwa chama hicho kinaongozwa na watu wenye akili ndogo

$
0
0
Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba "NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa: 1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,   2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tofauti na vigezo vya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>