Ayubu Mnazi Alphonce(24) ni kijana ambaye amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete
akipatiwa matibabu baada ya kuamua kuukata uume wake kwa kutumia wembe mpya ili kuepukana na usumbufu anaoupata kutoka kwa wanawake ambao amekuwa nao kimapenzi...
Imeelezwa kuwa baada ya kutokea mfarakano baina yake na mwanamke mmoja
ambaye jina lake halijafahamika,Ayoub
↧