Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 10 wafikishwa mahakamani leo kwa kosa la kumuua Dr. Senngondo Mvungi.....

$
0
0
Watu kumi wanaodaiwa kumuua Dr. Segondo Mvungi wamefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu na kusomewa shitaka la kumuua Dr. Mvungi.   Kesi imesomwa na Hakimu Mkazi Sundi Fimbo ambapo Watuhumiwa hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na Mahakama kutokua na uwezo wa kusikiliza kesi ya mauaji hivyo wamerudishwa Segerea mpaka tarehe 5 December   mwaka  huu ...     <!--

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>