Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

P-Square watua jijini Dar es Salaam

$
0
0
Wanamuziki wa kundi la P-Square Peter na Paul baada ya kutua jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkrulu ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na East Africa Radio na EATV.    Hapa wakifanya mahojiano na kituo cha East Africa TV ambao ndio wenyeji wao. Mahojiano na picha za hapa na pale zikiendelea. Vijana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>