WAKATI Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
ikiendelea na kikao chake jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu, Zitto
Kabwe, amekacha.
Zitto ambaye katika siku za hivi karibuni aliibua mjadala kwenye
vyombo vya habari, hasa alipoingia kwenye malumbano na Mbunge wa Arusha
Mjini, Godbless Lema, amekacha kikao hicho na badala yake ametoa taarifa
ya kusafiri nje ya
↧