Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Mugabe awapiga marufuku wageni na wahamiaji kujihusisha na biashara ndogo ndogo nchini mwake

$
0
0
Wamiliki wa makampuni ya nje yanayoendesha shughuli katika baadhi ya sekta nchini Zimbabwe kuanzia Januari mosi mwaka 2014 hawataruhusiwa na iwapo watakiuka agizo hilo watakamatwa .Mmoja wa maafisa waandamizi wa serikali ya nchi hiyo amesema.   Katibu wa Uwezeshaji Uchumi George Magosvongwe alitoa onyo hilo  katika bunge la nchi hiyo, gazeti moja la serikali limesema.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>