Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zitto Kabwe na Dr. Mkumbo watakutana na waandishi wa habari kesho ili kutoa msimamo wao kuhusu maamuzi yaliyochukuliwa na CHADEMA dhidi yao

$
0
0
Taarifa inatolewa kuwa Mheshimiwa Zitto Kabwe pamoja na Dk Kitila Mkumbo watakutana na wahariri na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili tarehe 24 Novemba 2013.  Watatumia nafasi hii kutoa maoni na msimamo wao kuhusu maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA ya hivi karibuni.   Mkutano huu na waandishi wa habari utafanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam kuanzia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>