Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema imewavua
Uongozi Viongozi wake watatu baada ya Kugundua waraka wa Siri
uliowahusisha na mpango wa kukipasua Chama vipande vipande.
Viongozi
waliovuliwa Uongozi ni Zitto Kabwe ambaye alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Dr
Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya
Kaskazini.
Akizungumza katika Mkutano wa
↧
Taarifa rasimi ya CHADEMA kuhusu kuwavua uongozi Zitto Kabwe, Dr. Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba
↧