Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yajisalimisha kwa Tundu Lissu baada ya kuiomba mahakama ifute Rufaa ya...

WAKATI rufaa ya kupinga ubunge wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) ikitarajiwa kuanza kusikilizwa katika Mahakama ya Rufaa Dodoma, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Wakili wake,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi mkoani Dodoma yashindwa kumfikisha mahakamani mbunge SUGU wa Mbeya mjini

JESHI la Polisi mkoani Dodoma limeshindwa kumpandisha kizimbani Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), kwa madai kuwa upelelezi bado haujakamilika. Mbilinyi, maarufu kama ‘Sugu’ alifunguliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awapa MAKAVU wanaoudharau utendaji kazi wake....Adai 2015...

Rais Jakaya Kikwete amesema wale wote wanaombeza kuhusu utendaji wake, wataona aibu atakapomaliza muhula wake 2015 huku akiwananga baadhi ya wanaCCM kwa kushindwa kuyaelezea mafanikio ya Serikali chini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa ya mzee MAJUTO yavunjika

MWANAMKE anayedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchekeshaji mahiri Bongo, Amri Athuman maarufu kama Mzee Majuto au King Majuto, Rahma Abdallah (20), ameibuka na kudai kutelekezwa na mumewe huyo. Ndoa hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za UCHI za binti wa kibongo zavuja....

Utandawazi  umeendelea  kuwaangamiza  dada  zetu  wanaopenda  kuiga  mambo  wasiyoyajua.... Katika  upekuzi  wetu, mtandao  huu  umefanikiwa  kuzinasa  picha  za  mrembo  huyu akiwa  katika  pozi  la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii azianika nyeti zake jukwaani wakati akipiga show

Msanii  toka  nchini  Nigeria  amejikuta  akijitia  aibu  ya  mwaka  baada  ya  kuzianika  nyeti  zake  hadharani  wakati  akitumbuiza  jukwaani.... Aibu  hiyo  ilimpata  kutokana  na  kivazi  kifupi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke akamatwa uwanja wa ndege akiwa na mimba bandia iliyokuwa na madawa...

Kila kukicha vita dhidi ya biashara haramu ya dawa za kulevya inazidi kupamba moto, wakati mataifa mbalimbali yakizidi kuimarisha udhibiti wa biashara hiyo, na wafanyabiashara hiyo wanazidi kuja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Reginald Mengi na waziri Sospeter Muhongo WASHIKANA Mashati

MWENYEKITI Mtendaji wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, wameingia katika mzozo mzito kuhusu uwekezaji katika sekta ya gesi. Katika mzozo huo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba afikishwa mahakamani baada ya kumbaka mwanae

MKAZI wa Kijiji cha Njoro wilayani Kiteto mkoani Manyara, Mohamed Ally (42) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kufikia.  Mwendesha Mashitaka wa Polisi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu atunisha msuli....Akataa uamuzi wa CCM kutaka kuifuta kesi yake

WAKATI viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakiwasili mjini Dodoma kuungana na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, katika rufaa ya kupinga ubunge wake inayoanza kusikilizwa leo, mbunge huyo amekataa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtanzania anaswa AKILAWITIWA na Mzungu CHOONI...Wajitetea na kudai walikuwa...

MDOSI au Kanjibai aliyefahamika kwa jina moja la Milah ambaye ni bosi wa kampuni moja ya ujenzi yenye makao yake Mwenge jijini Dar alinaswa chooni akiwa na mfanyakazi wake, John Carlos ‘Shabani’ (watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate ataja sababu nne zinazowafanya wanaume WAMMEZEE MATE na kumtongoza...

 MREMBO anayefanya vizuri katika mambo mengi nchini, Jokate Urban Mwegelo (pichani) ametaja sababu nne zinazowafanya wanaume kumzimikia, akiwemo nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.  Akiandika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtuhumiwa ajikojolea Mahakamani huko Morogoro

MTUHUMIWA, Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta vurugu kubwa zilizosababisha kuvunjika kwa meza ya Mahakama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Padri wa kanisa KATOLIKI amwagiwa tindikali huko Zanzibar

  Padre Ancelmo Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Parokia ya Cheju Zanzibar amemwagiwa tindikali katika mgahawa wa Sun Shine uliopo Mlandege, Zanziabar  na  kusababishiwa  maumivu  makali sana. Habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya Padri aliyemwagiwa tindikali huko Zanzibar na kuumizwa vibaya.

Kwa mara nyingine Zanzibar imeshuhudia tukio la kumwagiwa tindikali ambapo watu wasiojulikana wamemwagia tindikali Padri wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mpendae,Padri Anselmo Mwan'gamba    <!--...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C na Zamaradi Mketema waingia katika bifu zito....Kisa ni PENZI la mwanaume

  So Rehema Chalamila aka Ray C na mtangazaji wa kipindi cha Take One cha Clouds TV, Zamaradi Mketema haziivi? Katika kile kilichoacha wazi midomo ya watu wengi, warembo hao leo wameingia kwenye vita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole atachukuliwa hatua za kinidhamu baada ya kuianika CHUPI na SHANGA za...

WENYEKITI wa Kamati ya Umoja wa Mashirikisho ya Sanaa Tanzania, Kimela Billa, ameutaka uongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania, kumchukulia hatua ya kinidhamu, msanii wa muziki wa mduara Shilole...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti ya gazeti la MWANANCHI kuhusu Padri aliyemwagiwa tindikali jana huko...

Padri wa Kanisa la Romani Katoliki Parokia ya Machui, Joseph Monesmo Magamba amemwagiwa tindikali na watu wasiojulikana katika Mtaa wa Mlandege jana jioni, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar.  Kaimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uwoya akamatwa na polisi kwa wizi wa simu aina ya iPhone 5

MSANII aliyewahi kutamba kisha kuporomoka kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini Tanzania kwa sababu ya tabia zake chafu, Irene Uwoya, amefikishwa Kituo cha Polisi Msimbazi kwa wizi wa simu aina ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Namshukuru mungu maana sina UKIMWI...Mwenye wivu ajinyonge"..Recho

Msanii  wa  Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ amejikuta akivuja  jasho  la  furaha baada ya kupima Ukimwi na kujikuta yupo salama.   Tukio hilo lilitokea hivi karibuni maeneo ya Sinza Palestina ambapo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>