Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Nipo tayari kugombea URAIS endapo wananchi WATANICHAGUA."..Mwigulu Nchemba

  Naibu katibu mkuu wa CCM bara, Mh. Mwigulu Nchemba ambaye pia ni mbunge wa Iramba  amefunguka  kuwa  vurugu zilizotekea bungeni wiki  iliyopita  zilisababishwa na kambi ya upinzani kukosa akili na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taharuki kubwa yaibuka katika mpaka wa Rwanda na Tanzania.

Taharuki imeibuka katika mpaka wa Tanzania na Rwanda wakati madereva wa malori kutoka nchini wakihaha kuvuka kuingia Rwanda kabla ya kuanza kutumika kwa ushuru mpya wa barabara ambao unaanza kutumika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtandao wa fedha haramu wabainika kuwepo Tanzania

Mtandao wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na Tanzania umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate afunguka baada ya kutuhumiwa kugawa URODA kwa LUCCI ili auze sura

Baada  ya  kutuhumiwa  kugawa  uroda  kwa  Lucci  ili  aweze  kuuza  sura  katika  video  mpya   ya  "dada, kaka" , Jokate  ameamua  kufunguka  na  kuzikanusha  tuhuma  hizo.... Huu  ni  ujumbe  wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alex Massawe afikishwa mahakamani huko Dubai

Mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Massawe amefikishwa mahakamani Dubai, Falme za Kiarabu (UAE), kwa tuhuma za mauaji baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugai na Mbowe walivunja kanuni za Bunge MAKUSUDI kwa maslahi ya vyama...

Kumekuwa na mjadala mkali kuhusu iwapo Naibu Spika, Job Ndugai alikiuka Kanuni za Bunge katika kushughulikia vurugu zilizotokea Bungeni Alhamisi iliyopita kwa kuamuru kutolewa nje kwa Kiongozi wa Kambi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndo mashitaka matatu aliyosomewa makamu wa Rais wa Kenya mbele ya...

  William Ruto amekana mashtaka yote yanayomkabili kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou Bensouda anayesimamia kesi hiyo, alisema watuhumiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"CHADEMA wamepewa mamilioni ya fedha na wazungu ili wakwamishe mchakato wa...

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeibua madai mazito dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuwa kimepewa mamilioni ya fedha kutoka nje ya nchi, kwa nia ya kukwamisha mchakato wa Katiba Mpya....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari la kubebea wagonjwa lakamatwa likitumika katika wizi ndani ya Mgodi wa...

Mwandishi wa habari Denice Stephano anaripoti kwamba gari la kubebea wagonjwa  limekamatwa likitumika katika wizi ndani ya mgodi wa Geita na kufanya wapatikane watuhumiwa tisa wa kesi ya wizi wa mafuta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya binti wa kidato cha nne akisimulia jinsi alivyotongozwa na Diamond (...

MREMBO Sasha Juma, 20, kwa sasa anapitia kipindi cha majuto, analipia gharama ya kujivalisha ubandidu na kujisingizia kupewa mimba na supastaa, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’. Sasha, akiwa na macho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SADC yamuonya Kagame kuhusu mipango yake ya kuivamia Tanzania baada ya kuomba...

MZOZO wa kidiplomasia alioibua Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa Rais Jakaya Kikwete, sasa unaonekana kuchukua mwelekeo mpya, baada ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kumuonya kiongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mnyarwanda AJINYONGA baada ya kuamriwa arudi kwao RWANDA

Raia wa Rwanda amejinyonga kwa kamba chumbani kwake, tukio linalohusishwa na zoezi linaloendelea hivi sasa nchini la kuwasaka wahamiaji haramu na kuwarejesha makwao.Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hakimu apigwa na wanajeshi wa JWTZ huko karagwe kwa kudhaniwa kuwa ni Mnyarwanda

Matendo Manono (kushoto) Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Matendo Manono ambaye ni Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera amelalamikia kitendo cha kupigwa na kujeruhiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa gazeti la MWANANCHI akatwa katwa mapanga mkoani SINGIDA

Mwandishi wa habari wa gazeti la The Citizen na mwananchi mkoani Singida, Awila Silla amenusurika kuuawa na mtu anayedhaniwa kuwa Jambazi baada ya kukatwa katwa  mapanga kichwani na kusababisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pesa zazidi kumwagika kwa DIAMOND...Haya ni mamilioni aliyopewa na VODACOM

Msanii wa muziki ya kizazi kipya Diamond Platinumz (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa, punde baada ya kusaini mkataba utakaowezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond ajibu tuhuma za KUMTUNDIKA MIMBA mwanafunzi na zile za wimbo wa Dayna

  Hatimaye Diamond Platnumz leo amejibu tuhuma kadhaa zilizokuwa zikimkabali ikiwemo ile ya Dayna Nyange kudai kuwa alitumia beat ya wimbo wake kurekodi wimbo wake unaotamba sasa, Number 1 na pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C alianika "shairi la penzi lake" instagram...Albam yake mpya iko jikoni...

Haya wale wenye kiu na ujio mpya wa Ray C mnaweza kuanza kuandaa makoo yenu sababu chakula kimeshawekwa jikoni na muda si mrefu mnaweza kukaribishwa mezani. Ray C ameshea picha kadhaa akiwa studio na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hiki ni kilio cha Bondia Rashid Matumla baada ya mdogo wake kukamatwa na dawa...

Bondia Rashid ‘Snake man’ Matumla amedai endapo itathibitika mdogo wake Mkwanda anajihusisha kusafirisha dawa za kulevya atakuwa ameipa fedheha familia yao. “Mkwanda ameipa fedhea familia yetu, hii ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pongezi za dhati kwa mmiliki wa "UDAKU SPECIALLY BLOG" kwa kufunga ndoa.

Pongezi  za  dhati  zikufikie  Mmmliki  wa  Mtandao  wa  Udaku  specially  blog  kwa  kufunga  ndoa.Ni  uamuzi  wa  busara  sana  na hiyo  ni  hatua  muhimu  sana  katika  maisha  ya  mwanadamu.....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Kwa sasa Sina MPENZI ....mwenye nia ya dhati ANITAFUTE"...Baby Madah

  Leo katika interview na baby Madaha ambaye hivi karibuni amesaini mkataba mnono na kampuni ya Candy n’ Candy Records  ya jijini Nairobi nchini Kenya , Bongomovie.com wameweza kupata mambo matano...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>