Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtandao wa fedha haramu wabainika kuwepo Tanzania

$
0
0
Mtandao wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na Tanzania umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena dola za kimarekani na kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika kipindi cha siku mbili kufikia zaidi ya shilingi milioni 250. TAZAMA  RIPOTI  YA  ITV  HAPO  CHINI <!-- adsense -

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>