Taharuki imeibuka
katika mpaka wa Tanzania na Rwanda wakati madereva wa malori kutoka
nchini wakihaha kuvuka kuingia Rwanda kabla ya kuanza kutumika kwa
ushuru mpya wa barabara ambao unaanza kutumika tena leo kwa upande wa
Rwanda ukilenga magari kutoka Tanzania tu.
Rwanda iliongeza
ushuru kwa zaidi asilimia 229 dhidi ya magari ya mizigo ya Tanzania tu
kutoka viwango vya zamani vya
↧