Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meli ya Tanzania yakamatwa na madawa ya kulevya Italia...

MV Gold Star ikiungua baada ya kuchomwa moto na wasafirishaji wa madawa ya kulevya. Moshi mkubwa ukitoka katika meli hiyo baada ya wahusika kujitosa majini.MV Gold Star ikipelekwa katika Bandari ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama lishe abakwa na Afisa tarafa na kuumizwa vibaya

AFISA Tarafa ya Kaliua Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Josephat Brown anatuhumiwa kumbaka mama lishe na kumsababishia maumivu makali na kisha kutokomea kusikojulikana. Tukio hilo limetokea Agosti 29...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiwani wataka SHERIA ya kuwalazimisha WANAUME kwenda KLINIKI itungwe

BAADHI ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu wameomba itungwe sheria ndogo, kushinikiza wanaume kushiriki huduma ya kliniki kwa lazima. Wametaka sheria itungwe ili atakayekaidi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti ya gazeti la IJUMAA WIKIENDA kuhusu msanii maarufu aliyenaswa na...

SAKATA la madawa ya kulevya kusafirishwa nje au kuingizwa nchini na kuwafikia vijana wanaoharibika kila kukicha, limezidi kuchukua nafasi ya kipekee baada ya ripoti mpya kabisa kutoka juzi... Aisha Bui...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Magufuli azomewa mbele ya Rais jijini mwanza

RAIS Jakaya Kikwete jana alipata wakati mgumu, baada ya kukutana na nguvu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini Mwanza katika ziara yake, huku Waziri wake wa Ujenzi, Dk. John Magufuli,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za kikatili za mwanamke aliyeuawa kwa kutobolewa KOROMEO

Mrembo Yusta Mkali, mkazi wa Kawe, Dar ambaye alikuwa mke wa mtu anadaiwa kuuawa kwa kutobolewa koromeo na mumewe, Musa Senkando na kusababisha simulizi ya kutoa machozi kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za msanii RECHO akisuguliwa nyeti zake wakati wa tamasha la Serengeti...

MSANII kutoka kundi la Tanzania House of Talent (THT), Winfrida Josephat 'Rachel' akifanya vituko  vyake stejini wakati wa Tamasha la Serengeti Fiesta 2013. <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzungu wa African Barrick Gold atiwa mbaroni kwa kumtelekeza mtoto aliyezaa...

Andre akiwa na mzazi mwenzie akimsihi aondoe shauri hilo  mahakamani   Andre akiwa na mtoto wake nje ya mahakama ANDRE LAPIERRE (50) MFANYAKAZI WA MGODI WA BULHYAHULU  Mzungu akitoka kusikiliza shauri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jack Wolper awataka wasanii wa kike WAJIHESHIMU kwa kutovaa mavazi ya nusu UCHI.

Muigizaji wa filamu za  kibongo  maarufu  kwa  jina  Jackline Wolper amewaasa waigizaji wenzake wa kike kuacha kuvaa nguo za nusu uchi kwani ni kinyume na mila na tamaduni za kitanzania . Wolper...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Millen Magese akiwa katika pozi la NUSU UCHI.

Anajiita, MODEL, au  MISS  TANZANIA.Ni  binti  wa  kibongo  maarufu  kwa  jina  la  Millen Magese  akiwa  katika  pozi  la  KICHUPI  style  lililoanzishwa  na  WAKOLONI  maarufu  kwa  jina  la  wazungu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Napenda PESA zake tu ila sitaki NIMVULIE nguo zangu na sitaki KUNGONOKA...

  Nina mahusiano ya kawaida tu na kijana mmoja wa kichaga ambaye ni mfanyabiashara yapata miaka 3 sasa. Anatoa huduma zote kwangu kifedha kasoro tu dushelele lake ndo silihitaji maana sina hisia zozote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pikipiki aina ya JINYEE yasababisha kichapo kikali kwa mfanyabiashara

  Na Jumanne  Nzagamba, Chunya. Nipo  kijijini  Kanga, wilaya  ya  Chunya  ambapo  kwa  macho  yangu  nimemshuhudia  mfanyabiashara  mmoja  akipewa kichapo  kikali  na  vijana  watatu  wa  kisukuma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za UCHI za binti wa kibongo zavuja

  Jinamizi  la  picha  za  utupu  limeendelea  kuwatafuta  akina  dada  ambapo  leo  hii  mpekuzi  wetu  amefanikiwa  kuzinasa  picha  mbaya  za  binti  mmoja  wa  kibongo  anayesadikiwa  kuwa  ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Joseph Kaniki anaswa na madawa ya kulevya Ethiopia....

Mshambuliaji wa nyota wa zamani wa timu ya soka ya Simba na Taifa, Joseph Kaniki ‘Golota’ na bondia Mkwanda Matumla wanashikiliwa huku Addis Ababa, Ethiopia wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sheikh Koba atiwa mbaroni kwa tuhuma za KUMBAKA mwanafunzi wa darasa la pili

KIONGOZI wa msikiti wa Masjid Maftah ulioko Misufini katika manispaa ya Morogoro, Alhaj Abdul Wazir, maarufu kama Sheikh Koba, anashikiliwa kwa mahojiano mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zanzibar yaapa kuishitaki meli iliyokamatwa na tani 30 za bangi Italia.

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema itafungua mashtaka dhidi ya kampuni ya Gold Star, baada ya meli yake kukamatwa na tani 30 Za mihadarati aina ya bangi Kisiwa cha Malta Vessel, nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugai ataja sababu zake zilizomfanya amtimue Freeman Mbowe Bungeni

NAIBU Spika, Job Ndugai ametetea uamuzi wake wa kuagiza kutolewa ndani ya ukumbi wa Bunge, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akisema alikuwa sahihi. Mabishano hayo ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waasi wa M23 wakubali kuweka silaha chini kwa masharti kadhaa

Wakati vikosi vya Umoja wa Mataifa vikisitisha kwa muda operesheni ya kukabiliana na Kundi la M23 Mashariki kwa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, ili kupisha mazungumzo ya amani, kundi hilo limesema liko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Binti aangukia mshumaa na kuungua nyeti zake wakati akikata mauno

Hii  ni  video  fupi  ya  binti  aliyeungua  nyeti  zake  baada  ya  kuangukia  mshumaa  wakati  akikata  mauno.... Sakata  hilo  lilimkuta  wakati  akiwa  ametundika  KICHWA chini, MIGUU  juu ( POPO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jalada la kesi ya mbuge SUGU wa Mbeya mjini latua kwa DPP

JALADA la Kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), limefikishwa katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali. Mbilinyi maarufu kwa jina la ‘Sugu’, anadaiwa kumjeruhi askari wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>