Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Madiwani wataka SHERIA ya kuwalazimisha WANAUME kwenda KLINIKI itungwe

$
0
0
BAADHI ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu wameomba itungwe sheria ndogo, kushinikiza wanaume kushiriki huduma ya kliniki kwa lazima. Wametaka sheria itungwe ili atakayekaidi, achukuliwe hatua za kisheria na kupata adhabu kali. Walisema kuwepo kwa sheria hiyo, kutapunguza idadi ya wanawake wanaokwenda kliniki peke yao, na kusaidia wajawazito kupata huduma mbalimbali.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>