Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mama lishe abakwa na Afisa tarafa na kuumizwa vibaya

$
0
0
AFISA Tarafa ya Kaliua Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Josephat Brown anatuhumiwa kumbaka mama lishe na kumsababishia maumivu makali na kisha kutokomea kusikojulikana. Tukio hilo limetokea Agosti 29 mwaka huu, saa tano usiku nyumbani kwa afisa tarafa huyo baada ya kumrubuni mama huyo (jina) mwenye miaka (38) katika baa iitwayo Leaders akitaka ampelekee nyama ya kuku ana wageni. Kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>