Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jalada la kesi ya mbuge SUGU wa Mbeya mjini latua kwa DPP

$
0
0
JALADA la Kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), limefikishwa katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali. Mbilinyi maarufu kwa jina la ‘Sugu’, anadaiwa kumjeruhi askari wa Bunge katika vurugu zilizotokea Bungeni mwishoni mwa wiki iliyopita.  Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Susan Kaganda alisema polisi wameshapeleka jalada la mbunge huyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles