KIONGOZI wa msikiti wa Masjid Maftah ulioko Misufini katika
manispaa ya Morogoro, Alhaj Abdul Wazir, maarufu kama Sheikh Koba,
anashikiliwa kwa mahojiano mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mtoto
mwenye umri wa miaka nane, mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya
msingi Sabasaba.
Taarifa zilizopatikana na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa
Morogoro, Faustine Shilogile,
↧