Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Mbowe ni Mjinga na Mpuuzi"...Hii ni kauli ya Kigwangalla bungeni

  Mbunge wa Nzega Dr. Kigwangalla, ametumia muda wake karibu wote wa kuchangia Muswada wa Katiba kwa kumshambulia Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Mbowe kuwa ni Mjinga, Mpuuzi, ametia aibu aibu  Kigwangalla...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Producer akata mzizi wa UNAFIKI kati wa Dayna na Diamond

Baada ya sakata la kuibiana nyimbo lilichokua takribani siku mbili kati ya msanii Diamond Platnum na Dayna Nyange,producer Shedy  ameamua  kukata  mzizi  wa  fitina  kwa  kuuanika  ukweli  wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete na Kagame wamaliza tofauti zao na kukubaliana kushirikiana kama...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Septemba 5, 2013, amekutana kwa faragha na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame katika mazungumzo yaliyokwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aibu: Daktari FEKI akamatwa katika hospitali ya KCMC Moshi

  Hali ya wasiwasi imejitokeza kwa baadhi ya wagonjwa wanaopatiwa huduma za  matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC Moshi Kilimanjaro baada ya uongozi wa hospitali hiyo kumkamata mtu anayejifanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Linex amwagana na DEMU wake wa Kizungu...kisa ni Pesa na Muziki.

Kilichokua kinafata ni ndoa ambayo ilikua imepangwa na wote wawili baada ya Linex kukamilisha hatua muhimu ambayo ni kumvisha pete mchumba wake anaitwa Suvi raia wa Finland mwezi March 2013. Millardayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi na Mawaziri wadaiwa kujihusisha na biashara haramu ya NGONO

BAADHI ya mawaziri na polisi wametajwa kuwa ni wateja wakubwa wa wanawake wanaouza miili yao, maarufu kwa jina la Changudoa. Hayo yameelezwa jana na Jukwaa la Wanaharakati Wanawake Vijana (YFF),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi walilaani Bunge la Tanzania kutokana na vurugu zinazoendelea

Baada ya kuibuka mvutano mkali bungeni jana, kati ya Naibu Spika, Job Ndugai na wabunge wa Kambi ya Upinzani, wasomi, wanaharakati, Chama cha Madaktari Tanzania (Mat), Chama cha Walimu Tanzania (CWT)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti maalumu ya gazeti la MWANANCHI kuhusu vurugu zilizotokea jana bungeni

  Jana, Bingwa wa Dunia wa uzani wa kati (super middle), unaotambuliwa na Shirikisho la Ngumi Duniani (WBF), Francis Cheka alitembelea Bunge baada ya kutwaa taji hilo karibuni na jana hiyohiyo, Bunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yasalimu amri na kukubali kulipa mishahara ya wafanyakazi wa TAZARA...

HATIMAYE serikali imesalimu amri na kuamua kuwalipa mishahara ya miezi minne wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) waliogoma wakishinikiza kulipwa stahiki zao. Uamuzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa Maziwa Makuu watoa siku tatu kwa M23 na Serikali ya DRC kurejea...

  Wapatanishi wa mgogoro wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa muda wa siku tatu kwa waasi wa M23 na serikali ya nchi hiyo kurejea kwenye meza ya mazungumzo huko jijini Kampala Uganda. Hayo ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Nileteeni mama zenu nilale nao ili nithibitishe kama ninyi ni...

BABA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Charles Kanumba ametoa ofa kwa wanawake wanaohitaji kuzaa watoto kama marehemu mwanaye wamuone ili awape uzao wake. Akipiga stori na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Tumewataka Kenya, Uganda, Rwanda watueleze walichozungumza kwa...

Serikali imeziomba nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuipa taarifa ya mikutano waliyoifanya bila ya kuishirikisha hivi karibuni.  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la mwanafunzi wa KIDATO CHA NNE aliyezalishwa na msanii DIAMOND

MREMBO aliyetimuliwa shule akiwa kidato cha nne baada ya kutundikwa mimba, Sasha Juma ameibuka na madai kuwa amezaa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. MCHEZO MZIMA Habari kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Namshukuru mungu kwa kuwa sina UKIMWI"...RAY C

Mwanadada  anayejipanga kurejea kwenye gemu la Bongo Fleva kwa kishindo, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amefunguka ya moyoni tena  akisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kupona madhara ya madawa ya kulevya bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za UTUPU za wanafunzi wakinyonyana maziwa zanaswa

<!-- adsense --> Picha  chafu  za  wanafunzi  wa  sekondary  moja  maarufu  zimenaswa  na  mpekuzi  wetu  zikipaa  toka  mtandao  mmoja  kwenda  mwingine.... Katika  picha  hizo, wanafunzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mengi amchana Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo kupitia Twitter

Mkurugenzi wa IPP, Bw Reginald Mengi amemtolea uvivu waziri wa Nishati na Madini, Mh Sospeter Muhongo, na kuweza wazi hisia zake kuhusu waziri huyo kwa kupitia mtandao wa Twitter. Mzee Mengi ameandika:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama aumbuka baada ya NZI kujazana katika MAKALIO yake wakati akielekea sokoni

  Mama  mmoja  amejikuta  akiambulia  AIBU  ya  mwaka  baada  ya  NZI kujazana  katika   makalio  yake.. Mama  huyo  ambaye  mpekuzi  wetu  hakuweza   kumtambua jina, alikumbwa  na  aibu  hiyo   hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Baba nilikuona USIKU ukiwa UCHI, nikajifanya nimelala, baadae nikamsikia...

Haya  ndo  madhara  ya  kulala  na  watoto  chumba  kimoja... Huyu  ni  binti  wa miaka  2 (  makadirio)  ambaye  ameamua  kuwaumbua  wazazi  wake  kwa  matendo  yao  ya  usiku  ambayo  amekuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi walipukiwa na bomu mkoani Morogoro

Taarifa kwa mujibu wa ITV — Wanafunzi wawili wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Matombo katika wilaya ya Morogoro wamejeruhiwa, baada ya kulipukiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dunia yamgeuka Rais Paul Kagame...

  TASWIRA ya kimataifa ya Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ambaye katika siku za hivi karibuni aliibua mzozo wa kidiplomasia na Rais Jakaya Kikwete, inaonekana kuchukua mwelekeo wa kuchuja badala ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>