Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Tumewataka Kenya, Uganda, Rwanda watueleze walichozungumza kwa siri"...Benard Membe

$
0
0
Serikali imeziomba nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuipa taarifa ya mikutano waliyoifanya bila ya kuishirikisha hivi karibuni.  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumzia na waandishi wa habari ofisini kwake jana alisema wameziomba nchi hizo kuitaarifu kile walichokijadili. Alisema kwakuwa nchi hizo ni miongoni mwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>