Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Nileteeni mama zenu nilale nao ili nithibitishe kama ninyi ni wanangu"...Baba kanumba

$
0
0
BABA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Charles Kanumba ametoa ofa kwa wanawake wanaohitaji kuzaa watoto kama marehemu mwanaye wamuone ili awape uzao wake. Akipiga stori na mwandishi wetu, baba Kanumba alisema amefikia hatua hiyo kutokana na usumbufu anaoupata kwani tangu Kanumba alipofariki dunia wamejitokeza mabinti watano wakidai kuwa ni watoto wake wakati si

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>