MREMBO aliyetimuliwa shule akiwa kidato cha nne baada ya kutundikwa
mimba, Sasha Juma ameibuka na madai kuwa amezaa na staa wa Bongo Fleva,
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
MCHEZO MZIMA
Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika zilidai kuwa Sasha na
Diamond walikutana katika mgahawa mmoja uliopo kwenye maduka ya Mlimani
City, Dar na ndipo walipoanzisha uhusiano.
Ilidaiwa kuwa Sasha
↧