Hali ya wasiwasi imejitokeza kwa baadhi ya wagonjwa wanaopatiwa huduma za matibabu
katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC Moshi Kilimanjaro baada ya uongozi wa
hospitali hiyo kumkamata mtu anayejifanya kuwa ni daktari wa watoto
akiwa kwenye wodi ya upasuaji.
Daktari huyo feki aitwae Alex Sumni Massawe
amewekwa chini ya ulinzi na Jeshi la Polisi baada ya kukutana na mmoja
wa wagonjwa ambae
↧