RAIS Jakaya Kikwete jana alipata wakati mgumu, baada ya kukutana
na nguvu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini Mwanza
katika ziara yake, huku Waziri wake wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, naye
akijikuta akizomewa mbele yake.
Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje, alivunja mwiko baada ya kujiunga
katika msafara huo wa raia akiwa na gari lenye alama za Movement for
Change (M4C
↧