Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"CHADEMA wamepewa mamilioni ya fedha na wazungu ili wakwamishe mchakato wa katiba mpya"..Nape Nnauye

$
0
0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeibua madai mazito dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuwa kimepewa mamilioni ya fedha kutoka nje ya nchi, kwa nia ya kukwamisha mchakato wa Katiba Mpya.  CCM kimeibua tuhuma hizo, ikiwa ni siku chache baada ya wabunge wa upinzani kupigana ngumi na askari wa Bunge muda mfupi baada ya kupitisha hoja ya kujadili Muswada wa Sheria ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>