William Ruto amekana mashtaka yote yanayomkabili kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou
Bensouda anayesimamia kesi hiyo, alisema watuhumiwa wawili waliofikishwa
mahakamani hapo jana, Ruto na mtangazaji wa Redio, Joshua arap Sang
wanakabiliwa na mashtaka matatu kila mmoja, ambayo ni kuwalazimisha watu
kukimbia makazi yao, mauaji na
↧