Kumekuwa na mjadala mkali kuhusu iwapo Naibu Spika, Job Ndugai
alikiuka Kanuni za Bunge katika kushughulikia vurugu zilizotokea Bungeni
Alhamisi iliyopita kwa kuamuru kutolewa nje kwa Kiongozi wa Kambi Rasmi
ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe.
Ndugai ambaye alikuwa kiongozi wa shughuli za
Bunge siku hiyo, aliwaamuru askari kumtoa nje Mbowe baada ya kukaidi
amri yake ya kutaka kuketi
↧