Mwandishi
wa habari wa gazeti la The Citizen na mwananchi mkoani Singida, Awila
Silla amenusurika kuuawa na mtu anayedhaniwa kuwa Jambazi baada ya kukatwa
katwa mapanga kichwani na kusababisha kuzirai. Tukio hilo limetokea juzi saa
mbili usiku jirani na mahakama ya mwanzo ya Utemini mjini Singida.
Awila
ambaye amelazwa wodi 2 katika hospitali ya mkoa amedai kuwa baada ya kukutana na
↧