Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tundu Lissu atunisha msuli....Akataa uamuzi wa CCM kutaka kuifuta kesi yake

$
0
0
WAKATI viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakiwasili mjini Dodoma kuungana na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, katika rufaa ya kupinga ubunge wake inayoanza kusikilizwa leo, mbunge huyo amekataa uamuzi CCM kutaka kuifuta kesi hiyo. Juzi CCM kupitia kwa wakili wake, Godfrey Wasonga, iliwasilisha barua katika Mahakama ya Rufaa Dodoma na nakala kwa Lissu ikiomba mahakama hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles