MREMBO anayefanya vizuri katika mambo mengi nchini, Jokate Urban
Mwegelo (pichani) ametaja sababu nne zinazowafanya wanaume kumzimikia,
akiwemo nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Akiandika
katika mtandao wake wa Kidoti Life Style, Jokate, mshindi wa pili wa
Miss Tanzania 2006, alizitaja sababu hizo kuwa ni kujiamini,
kujitegemea, kupendeza na tabasamu muda wote.
“Kujiamini
↧