Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mume wa Isha Mashauzi Afanyiwa Ukatili wa Kutisha Afrika...

MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Jumanne Tevez, mkazi wa Dar es Salaam, amefanyiwa unyama baada ya kudaiwa kukatwa uume wake na wenzake.   Habari za uhakika kutoka chanzo chetu cha habari...

View Article


Sakata la Machinga kupigwa: Waziri Mkuu aahidi kumshughulikia Katibu Tarafa...

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameagiza watendaji katika Manispaa na Jiji waliohusika kunyang’anya mali za wafanyabiashara mbalimbali kwa kisingizio cha kusafisha jiji na kugawana badala ya kupeleka...

View Article


" Natamani Kwenye Amri za Mungu Iongezwe ya 11 Isemayo 'USIWE CCM'.."....Hii...

  LEO Wabunge wameendelea kuchangia taarifa za Kamati za Hesabu za Serikali PAC na LAAC zinazoonesha ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma. Hapa  chini nimekuwekea  michango  ya  baadhi  ya  Wabunge....

View Article

Wafuasi 29 wa CUF Waachiwa kwa dhamana

Hatimaye wafuasi 29 kati ya 30 wa chama cha wananchi (CUF) akiwemo Naibu Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Uchaguzi na Bunge Shaweji Mketo na Naibu Mkurugenzi wa mawasiliano Abdul Kambaya wamepatiwa...

View Article

Rais Mugabe Ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika [AU]

Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe, ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Muungano wa Afrika AU akichukua nafasi ya Mohamed Ould Abdel Aziz wa Mauritania.    Mugabe mwenye umri wa miaka 90 ameteuliwa kwa...

View Article


Baba AJIUA Baada ya kuona picha za Uchi za Binti yake

Wazazi wamekua na nafasi kubwa sana katika malezi ya watoto wao hata wakati  wanapokuwa watu wazima lakini baba huyu kutokana na upendo kwa mwanaye aliamua kujiua baada ya kuona picha za mtoto wake...

View Article

Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda .......Nuh naye kasema yupo...

Baada ya Shilole  kumchapa vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi. Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake...

View Article

Mh.Mbatia: Jeshi la polisi lifanyiwe marekebisho ya kimfumo ili kuboresha...

Serikali imeshauriwa jeshi la polisi lifanyiwe marekebisho ya kimfumo ili kuboresha utendaji wake ambao kwa sasa unalalamikiwa kwa sehemu kubwa na wananchi kwa kukiuka haki za binadamu.   Akizungumza...

View Article


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Anusurika Kufa

Msafara wa mkuu wa mkoa wa Morogoro Dr. Rajab Rudenge umepata ajali katka eneo la Msavu barabara ya Morogoro Iringa majira ya saa tisa alasiri. Katika ajali hiyo Meya wa Manispaa ya Morogoro Amily...

View Article


Wabunge Wachoshwa Kujadili Wizi na Ufisadi Unaofanywa na Watendaji wa Serikali

Wabunge wameelezea kuchoshwa na wizi, matumizi mabaya ya fedha na mikataba mibovu iliyobainishwa katika taarifa za baadhi ya kamati zilizowasilishwa bungeni, na kushauri maazimio yapitishwe ili...

View Article

Takukuru, AG Kuchunguza Mauzo ya UDA

Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imepeleka suala la mchakato wa uuzaji wa hisa za Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA)...

View Article

Watendaji wa Hazina Wafutiwa Ukurugenzi Mashirika ya Umma

Serikali imezuia watendaji wote wa Msajili wa Hazina, kuingia katika bodi yoyote ya mashirika ya umma kuepuka mgongano wa maslahi. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (pichani) alisema bungeni, kwamba...

View Article

Muuza Genge Achezea Kichapo kizito baada ya kunaswa na Mke wa Mtu

Muuza genge mmoja kwenye Soko la Mji Mpya mjini Morogoro ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akichezea kichapo kwa madai ya kunaswa na mke wa mtu kisha kutembezwa mtupu mtaani. Fumanizi...

View Article


Chenge Ageuka Mbogo Bungeni baada ya kuitwa FISADI.......Amtaka Halima Mdee...

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametakiwa kuwasilisha ushahidi kuthibitisha kauli yake ya kumtuhumu Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kwa ufisadi.   Chenge alilazimika kuomba...

View Article

CUF Wamtaka Waziri Chikawe Afute Kesi......Wasema wanaandaa Maandamano...

Jumuiya ya Vijana ya CUF (JUVICUF) imemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe kufuta kesi zote zilizofungliwa kutokana na tukio lililotokea mapema wiki hii la viongozi wa chama hicho na...

View Article


Kimbunga Chaleta Maafa Bukoba.....Wawili wafariki, 31 Walazwa na 380 hawana...

Watu wawili wamefariki dunia baada ya kimbunga kupiga katika Kisiwa cha Goziba na kusababisha baadhi ya mitumbwi kupinduka katika Ziwa Victoria.   Kimbunga hicho kilitokea juzi saa tano asubuhi wakati...

View Article

Godbless Lema Amshambulia Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la...

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), jana alimshambulia kwa maneno makali Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, kuwa anaweza kuwa anashirikiana na majambazi...

View Article


Muhongo akabidhi rasmi ofisi kwa Simbachawene

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo leo amekabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa wizara hiyo George Simbachawene. Katika makabidhiano hayo, Prof Muhongo ameonya juu ya matumizi...

View Article

Watu 24 watiwa mbaroni kwa mauaji ya askari Geita

ASKARI mmoja wa wanyama pori na msaidizi wake wameuawa kwa kupigwa mawe, mapanga, marungu na nondo na wananchi katika kijiji cha Namonge Wilayani Bukombe Mkoani Geita wakituhumiwa kuwa majambazi na...

View Article

Raia 96 wa Burundi wakamatwa kwa ujangili Katavi

Jeshi la polisi nchini limefanikiwa kuwakamata watu 96 wengi wao wakiwa ni raia wa nchi jirani ya burundi, wanaotuhumiwa kujihusisha na ujangili kwenye hifadhi ya taifa ya Katavi ikiwa ni pamoja na...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>