Serikali imeshauriwa jeshi la polisi lifanyiwe marekebisho ya kimfumo
ili kuboresha utendaji wake ambao kwa sasa unalalamikiwa kwa sehemu
kubwa na wananchi kwa kukiuka haki za binadamu.
Â
Akizungumza jana mjini Dodoma katika kuhitimisha hoja kuhusu
kukamatwa kwa kiongozi wa wa chama cha CUF, Prof Ibrahim Lipumba na
wanachama wake,Mbatia alisema kuwa kitendo hicho kilikiuka haki za
↧