Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 24 watiwa mbaroni kwa mauaji ya askari Geita

$
0
0
ASKARI mmoja wa wanyama pori na msaidizi wake wameuawa kwa kupigwa mawe, mapanga, marungu na nondo na wananchi katika kijiji cha Namonge Wilayani Bukombe Mkoani Geita wakituhumiwa kuwa majambazi na tayari watu 24 wanashikiliwa akiwemo Afisa mtendaji wa kijijij hicho.   Tukio hilo limetokea jana jioni baada ya wananchi hao kuhamasishana wakakusanyika na kuivunja ofisi ya Serikali ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>