Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Muhongo akabidhi rasmi ofisi kwa Simbachawene

$
0
0
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo leo amekabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa wizara hiyo George Simbachawene. Katika makabidhiano hayo, Prof Muhongo ameonya juu ya matumizi mabaya ya Ofisi yanayoambatana na rushwa ili kuwasaidia watanzania masikini wanaoitegemea sekta hiyo kwa maendeleo ya uchumi wao.   Muhongo amemuasa Simbachawene juu ya umakini na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles