Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Raia 96 wa Burundi wakamatwa kwa ujangili Katavi

$
0
0
Jeshi la polisi nchini limefanikiwa kuwakamata watu 96 wengi wao wakiwa ni raia wa nchi jirani ya burundi, wanaotuhumiwa kujihusisha na ujangili kwenye hifadhi ya taifa ya Katavi ikiwa ni pamoja na mapori mbalimbali ya akiba (Game Reserve) mkoani Katavi, na kukutwa na silaha nne pamoja na risasi 118 na Radio Call kwa ajili ya mawasiliano.   Kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa Katavi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>